1.Njinsi ya kupika mangararimu Mahitaji yanayo hitajika ni mahindi makavu,marage magadi,chungu na maji.unachambua mahindi vizuri kisha unainjika chungu jikoni kikiwa na maji unaweka mahindi kwenye chungu .Apo unakuwa tayari ushaloweka magadi na maji na tayari yameshatulia vizuri unachukuwa magadi yako unayapima kiasi unachoona yatatona kabla ujaweka magadi hakikisha umejachuja vizuri ala unafunika chungu chako unachochelea moto mpaka yatakapo lainika mahindi .unachukuwa ndoo yenye maji unamimina mahindi unayaosha ukimaliza unaweka maharage unarudisha tena jikoni mpaka maharage yatakapoiva na hapo mangararimu yetu yatakuwa yameshaiva na tayari kwa kuliwa.Unaweza kula na chai au maziwa
Inavutia kweli nataman kujua zaidi
ReplyDelete